Kigoma Vijana Development Alliance

JE KUNA UMUHIMU MTOTO KUPATA ELIMU YA UKIMWI

Siku ya Jumamosi tarehe 22-10-2022 Shirika la KIVIDEA tulikua na mdahalo kati ya Majengo Primary na Gungu Secondary na mada ilikuwa “JE KUNA UMUHIMU MTOTO KUPATA ELIMU YA UKIMWI” – Majengo walikua wanakubaliana na mada na Gungu walikuwa wanakataa,
Pia tulikua na vipengele mbali mbali kama kama michezo na burudani ili kutuweka pamoja.

kividea

kividea

Leave a Reply

About Us

WE ARE AN ORGANIZATION ADDRESSING POVERTY-RELATED ISSUES SURROUNDING YOUTH IN TANZANIA

Recent Posts

Follow Us

Current Video in our channel