Kigoma Vijana Development Alliance

Kikao cha Robo ya Mwaka

Kikao kazi cha robo ya kwanza kilichofanyika katika ukumbi wa KIVIDEA kwa wazazi/walezi,wanakamati na watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi ambao wanahidumiwa na shirika kwa lengo la kupeana uzoefu katika utendaji kazi,changamoto wanazokutana nazo na kupeana ushauri nasihi .Pia kutambulisha wafanyakazi wapya ambao watasimamia mradi wa AFYA YANGU,MAENDELEO YANGU.

kividea

kividea

Leave a Reply

About Us

WE ARE AN ORGANIZATION ADDRESSING POVERTY-RELATED ISSUES SURROUNDING YOUTH IN TANZANIA

Recent Posts

Follow Us

Current Video in our channel