Mafunzo ya uwendeshaji wilayani Uvinza
News & Events

Mafunzo Kwa Watendaji -Wilaya ya Uvinza

Leo tarehe 28/05/2019 siku ya jumatano Shirika la Maendeleo ya Vijana Tanzania {KIVIDEA} linaendesha mafunzo kwa watendaji na watoa huduma za UZAZI wa MPANGO wa kata mbalimbali za wilaya za UVINZA na MANISPAA YA KIGOMA-UJIJI.

Leave A Comment

Your Comment
All comments are held for moderation.

+ 67 = 73
Powered by MathCaptcha