Matukio ya Wiki na #GAM2021
Jumamosi – Tarehe 13-11-2021 : Shirika la KIVIDEA kupitia kwa youth delegate wake wametekeleza shughuli ya kwanza ya global action month katika manispaa ya Kigoma ujiji lengo ikiwa ni kufikisha ujumbe na kuhamasisha jamii kutokalia kimya vitendo vya ukatili






Vijana kutoka shule ya msingi Burega 
Vijana kutoka shule ya msingi Burega 
Afro kiss KiVIDEA wakifanya yao katika shughuli ya global action month ambayo kwa mwaka huu kaul mbiu ni UKATILI HAUKUBALIKI, YOUTH CAN CHANGE THE WORLD 
