Kigoma Vijana Development Alliance

Ugawaji wa Vifaa vya shule kata nne za Manispaa ya Kigoma Ujiji

Leo tarehe 06/03/2021 shirika la maendeleo ya vijana Tanzania (KIVIDEA) kwa udhamini wa shirika la tdhs imefanya Hafla ya ugawaji wa vifaa vya shule kwa watoto 60 kutoka kata nne za manispaa ya kigoma ujiji ambazo ni Mwanga kaskazini, Rusimbi, Gungu na Katubuka.

kividea

kividea

Leave a Reply

About Us

WE ARE AN ORGANIZATION ADDRESSING POVERTY-RELATED ISSUES SURROUNDING YOUTH IN TANZANIA

Recent Posts

Follow Us

Current Video in our channel