News & Events

Jukwaa la Mashirika yasiyo ya Kiserikali 2023

KIVIDEA imehudhuria mkutano wa jukwaa la mashirika yasiyo ya kiserikali( NGO’s) mkoa wa KIGOMA kwa lengo  la kufahamiana, kutambua mchango wa kila shirika, changamoto tunazokumbana nazo katika utendaji kazi na kutafuta suluhisho la changamoto hizo.

Leave A Comment

Your Comment
All comments are held for moderation.