Kigoma Vijana Development Alliance

Kuelekea Siku ya Kimataifa ya Vijana

Kuelekea Siku ya Vijana (12/08/2021) – KIVIDEA imejikita katika kuelimisha vijana ili kuondoa ukatili unao wanzunguka katika jamii.

Maana Vijana ni tegemeo kubwa la maendeleo ya Tanzania katika miaka ijayo. Hata hivyo, vijana wa kiume na wa kike hukabiliwa na changamoto nyingi katika ukuaji na kupevuka kwao kutoka ujana
hadi utu uzima hasa katika uhusiano wa kijamii, afya na uchumi.

Vijana tunaweza kutumia njia mbalimbali kila mahali duniani kuelimisha na kushawishi usawa wa kijinsia katika jamii kwa ngazi zote.

Je, tunaweza kufikia dunia yenye usawa wa kijinsia kwa ngazi zote? Kama NDIO ni hatua gani zitumike?

kividea

kividea

Leave a Reply

About Us

WE ARE AN ORGANIZATION ADDRESSING POVERTY-RELATED ISSUES SURROUNDING YOUTH IN TANZANIA

Recent Posts

Follow Us

Current Video in our channel